• (0)

    K.C.S.E Made Familiar – GEOGRAPHY

    This Kenya Certificate of Secondary Education (K.C.S.E.) Made Familiar workbook is designed to help students familiarize themselves with K.C.S.E. Geography questions – both Paper 1 and Paper

    2. The work book covers Geography questions that have been tested from 2000 to date.

    The questions have been arranged in topics and in their respective forms in which they are taught. Some topics are introduced in one form and are advanced in another, for example, Map work and Statistical Methods. The questions are in their original form, that is, as they appeared in K.C.S.E. paper. Beneath every question, the following have been clearly indicated:

    • Marks carried by the question
    • Year tested
    • Paper tested in, and
    • Number in the paper.

    This information will help the students identify topics that are frequently tested and the various ways in which concepts in these topics are tested.

    The answers to the questions have been presented immediately after each paper for easier reference.

    KSh735.00
  • (0)

    K.C.S.E Made Familiar – KISWAHILI

    Kitabu hiki cha Mazoezi ya Insha na Lugha cha Kenya Certificate of Secondary Education

    (K.C.S.E.) kimeandaliwa ili kuwafahamisha wanafunzi na maswali ya Kiswahili ya K.C.S.E. karatasi ya 1 a 2. Kitabu hiki kina maswali ya insha na lugha ya K.C.S.E. yaliyotahiniwa kutoka mwaka wa 2000 maka mwaka huu.

    Masomo ya Kiswahili yamegawanywa katika karatasi tatu ambazo zimepewa nambari za kuzitambulisha kama:

    • 102/1   (Insha)            –                            Hutahiniwa juu ya alama 40
    • 102/2.  (Lugha)          –                            Hutahiniwa juu ya alama 80
    • 102/3.   (Fasihi ya Kiswahili) –             Hutahiniwa juu ya alama 80

    Tanbihi: Awali, kabla ya mwaka wa 2001 somo la Kiswahili lilikuwa limegawanywa katika karatasi tatu ambazo zilikuwa 102/1A (Insha), 102/1B (Lugha) a 102/2 (Fasihi); jambo hili litadhihirika katika karatasi za mitihani ya mwaka wa 2000.

    Maswali yote katika kitabu hiki yako katika hali yao asili (halisi) yaani kama yalivyotokea katika karatasi ya mtihani wa K.C.S.E. Chini au kando ya kila swali, mambo yafuatayo yameonyeshwa waziwazi:

    • Alama zilizokuwa zikituzwa katika kila swali
    • Mwaka wa tahini.

    Mpangilio huu utawasaidia wanafunzi kutambua mada ambazo hutahiniwa mara kwa mara na njia mbalimbali ambazo kwazo dhana katika hizo mada hutahiniwa. Majibu ya maswali yametolewa nyuma ya kitabu hiki na yameandikwa kwa ukamilifu kama yanavyopaswa kuandikwa ili yaridhishe matakwa ya mtihani wa K.C.S.E.

    Maelezo na maelekezo yametolewa baada ya baadhi ya majibu ili kumwonyesha mtahiniwa jinsi ya kufikia majibu yanayokubalika.

    KSh735.00